Aims of this blog:
^Advertise tourism destination
^ Publicize tourism events
^ To exhibit leisure events
ADVERTISE WITH US:+225653683428
Emal: teresiamsanga@gmail.com
Tuesday, 3 November 2015
MAAJABU YA SIMBA WEUPE WA PORI LA LIPARAMBA NCHINI TANZANIA
Katikahabari za wanyama pori inajulikana
kwambasimba weupe wanapatkana
zaidiAfrika ya kusini,Lakin pia Simba
weupe wanapatikana katika nchi ya Tanzania katika pori la
wanyama la Liparamba wilayani Mbinga mkoani Ruvuma. Pia katika pori kuna
baadhi ya wanyama wanahama kutoka Msumbiji na kuingia Tanzania kwa kuzingatia
hifadhi hiyo iko mpakani mwa nchi hizi mbili.
No comments:
Post a Comment