Tuesday 3 November 2015

MAAJABU YA SIMBA WEUPE WA PORI LA LIPARAMBA NCHINI TANZANIA

   Katika  habari za wanyama pori inajulikana kwamba  simba weupe wanapatkana zaidi  Afrika ya kusini,Lakin pia Simba weupe wanapatikana katika nchi ya Tanzania katika pori la wanyama la Liparamba wilayani Mbinga mkoani Ruvuma. Pia katika pori kuna baadhi ya wanyama wanahama kutoka Msumbiji na kuingia Tanzania kwa kuzingatia hifadhi hiyo iko mpakani mwa nchi hizi mbili.

advertise with us..... call 0653683428

No comments: