ADVERTISE WITH US CALL..0653683428
Makumbusho ilifunguliwa rasmi mnamo mwaka 1987 na kuonesha historia ya
binadamu wa kale, ikiwepo pamoja na tafiti zilizofanyika katika bonde maarufu
la Olduvai na alama za za miguu wa binadamu wa kale za Laetoli. Pia inafanya
Maonyesho juu ya entomolojia ambayo huwasilisha baadhi ya wadudu, ndege na
wanyama pamoja na umuhimu wao kiuchumi ambacho pia ni kivutio kikubwa kwa
wageni wanaotembelea makumbusho hii.
Advertise with us....call 0653683428
Advertise with us....call 0653683428
No comments:
Post a Comment