
Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba .Pori hili lilipendekezwa kuwa
hifadhi ya taifa kwa misingi ya kunusuru maeneo na rasilimali zilizomo kutokana
na matumizi yasiyoendana na uhifadhi kwa ajili ya kizazi cha leo na kijacho.
Katika hifadhi hii kuna wanyama na ndege wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja
na mbwa pori na vifaru weusi walioingizwa kutoka kutoka nchi ya Afrika
kusini
No comments:
Post a Comment