Monday 20 July 2015

Hifadhi ya Katavi

  ADVERTISE WITH US: +2250653683428
                   Email: teresiamsanga@gmail.com

      Hifadhi ya Katavi ni moja ya hifadhi za taifa ambayo iko juu ya uwanda mpana wa mafuriko magharibi mwa Tanzania katika mkoa wa Rukwa. Ina ukubwa wa eneo la kilometa za mraba 4471
Madhari katika hifadhi
·         Maeneo ya majimaji yenye majani
·         Mimea jamii ya mitende na
·         Mto Katuma
     Hifadhi hii inasifika kwa:
Idadi kubwa ya mamba na viboko.Pia wanyama kama simba na chui hawana shida ya mawindo kwani katika himaya yao kuna makundi ya swala, nyamela topi wa miguu mieupe, pundamilia na nyati.
     Kuna ainazipatazo 400 za ndege waliozagaa katika miti ya acacia, kingo za mto, mabwawa na makundi kadhaa ya mwari yanayoambaa ziwani. Nikawaida kuyaona makundi makubwa ya tembo yalkila majani katika mabwawa huku miili yao ikiwa imefunikwa na maji na magugu
Namna ya kufikaa katika hifadhi
  • Inafikika kwa ndege kutoka miji ya Dar es salaam na Arusha
  • Kwa gari kutoka mji wa Mbeya au kupitia mji wa Kigoma

No comments: