Ziwa Eyasi ni ziwa lenye maji ya chumvi linalopatikana kati ya genge la bonde la
ufa na na Milima ya Kidero. Maeneo yazungukayo ziwa Eyasi ni makazi ya kabila
maarufu la Wahadzabe ambao ni moja ya makabila machae ya wawindaji yaliyobaki
katika bara la Afrika. Wahadzabe wamekuwa wakiishi katika misitu ya acacia na
vichaka vinavozunguka maeneo ya ziwa Eyasi kwa atakribani zaidi ya miaka 10,000
iliyopita.Aims of this blog: ^Advertise tourism destination ^ Publicize tourism events ^ To exhibit leisure events ADVERTISE WITH US:+225653683428 Emal: teresiamsanga@gmail.com
Tuesday, 18 August 2015
Ziwa Eyasi ni kivutio kizuri cha Utalii nchini Tanzania
Ziwa Eyasi ni ziwa lenye maji ya chumvi linalopatikana kati ya genge la bonde la
ufa na na Milima ya Kidero. Maeneo yazungukayo ziwa Eyasi ni makazi ya kabila
maarufu la Wahadzabe ambao ni moja ya makabila machae ya wawindaji yaliyobaki
katika bara la Afrika. Wahadzabe wamekuwa wakiishi katika misitu ya acacia na
vichaka vinavozunguka maeneo ya ziwa Eyasi kwa atakribani zaidi ya miaka 10,000
iliyopita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment