Tuesday 18 August 2015

Ziwa Eyasi ni kivutio kizuri cha Utalii nchini Tanzania


    Ziwa Eyasi ni ziwa lenye maji ya chumvi linalopatikana kati ya genge la bonde la ufa na na Milima ya Kidero. Maeneo yazungukayo ziwa Eyasi ni makazi ya kabila maarufu la Wahadzabe ambao ni moja ya makabila machae ya wawindaji yaliyobaki katika bara la Afrika. Wahadzabe wamekuwa wakiishi katika misitu ya acacia na vichaka vinavozunguka maeneo ya ziwa Eyasi kwa atakribani zaidi ya miaka 10,000 iliyopita.
Utalii unaofnyika katika eneo hili ni utalii wa kitamaduni.

No comments: