Saturday 5 September 2015

OLDONYO LENGAI MLIMA WENYE VOLKANO HAI TANZANIA



   Oldoinyo Lengai ni Mlima pekee wenye volkano hai unaopatikana Tanzania wenye urefu wa Mita 2962 kutoka usawa wa bahari. Jina hili Oldonyo Lengai lina maana ya “Mlima wa Mungu” katika lugha ya Kimasai.. Kabila la Kimasai hutumia Mlima huu kwa kufanya  matambiko wakiupa sifa za Uungu kwa ajili ya kutatua matatizo mbalimbali ya kijamii yanayo wakumba kama ,njaa na magonjwa.
   Lakini pia mlima huu  hutumika kama kivutio cha Utalii, na utalii unaofanyika ni utalii wa kupanda milima. 


ADVERTISE HERE.

No comments: