Sunday 2 August 2015

Umuhimu wa Kisiwa cha Uzi kwa Serikali ya Zanzibar


  “Tourism and Leisure blog” ipo Zanzibar katika Kisiwa cha Uzi.Idadi kubwa ya wakazi wa kisiwa hiki wanategemea uvuvi kama shughuli yao ya kiuchumi.
     Lakini pia Kisiwa kidogo cha uzi kilichopo mkoa wa kusini unguja kinaweza kusaidia serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kimapato kutokana na utalii iwapo kitaendelezwa  na kutangazwa Duniani kote kutokana na kisiwa hicho kuwa na upekee wake wa kuingia na kutoka kisiwa hapo
Hivyo basi ni jukumu sasa la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibari wakishirikiana na  Wizara ya Maliasili na Utalii kutafuta wawekezali ili kuweza kukifanya kisiwa hiki kuwa kivutio kikubwa cha Utalii.
 











Do you wish to visit Amboni Cave in Tanga
Contact with us: +2250653603428

No comments: