Aims of this blog:
^Advertise tourism destination
^ Publicize tourism events
^ To exhibit leisure events
ADVERTISE WITH US:+225653683428
Emal: teresiamsanga@gmail.com
Thursday, 15 May 2014
Zifahamu sababu za wanyama hawa kuwa kwenye kundi la "Big five animals"
Tanzania nimoja ya nchi ambayowanyama wote
waliopo kwenye kundi la “Big five” wanapatikana nchini hapa wanyama hao ni
Simba,Tembo,Chui,Faru na Nyati. Sababu za kuitwa “Big five” si kwasababu ya ukubwa wa muonekano
wao,ni kutokana na ugumu wao katika kuwawinda pia ni wanyama
ambao ni hatari, vile vile makampuni ya Utalii hulitumia jina hili kwa dhumuni
la kuwapata kuwatangaza kimataifa wanyama hawa.
Lakini pia wanyama hawa wanapatikanaAfrika katika nchi za Botswana, Uganda,
Namibia, Ethiopia, South Africa, Kenya, Zimbabwe, Congo, na Malawi.
No comments:
Post a Comment