Thursday 14 January 2016

SONI FALL THE AMAZING ATTRACTION IN LUSHOTO

KWA HABARI >>>>ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE
 
   The Soni Falls is a waterfall in the Usambara Mountains of northeastern Tanzania, near the village of Soni to the northeast of Kitunda. The falls lie at the end of the Mkuzu River where it joins the Bangala River.The falls lie in the southern part of the West Usambaras Lushoto Mountain Reserve.












KWA HABARI >>>>ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE


  

Wednesday 23 December 2015

MAZINGIRA YA MJI WA LUSHOTO YANAWAVUTIA WATALII WENGI


KWA HABARI ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE>>>>

  Lushoto ni mji mdogo uliopo kwa kimo cha mita 1930 kwenye milima ya Usambara ni makao makuu ya wilaya ya Lushoto. Mji ulianzishwa kwa jina la Wilhelmstal na Wajerumani wakati wa koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Jina lilichaguliwa kwa heshima ya kaisari Wilhelm II aliyekuwa mtawala wa Ujerumani hadi 1918.
Kuna barabara ya lami kati ya Lushoto na Mombo inapounganika na barabara kuu ya Arusha - Dar es Salaam.
Mazingira ya Lushotoyanafaa kwa kilimo,vile vile  kuna vivutio vingi vya Utalii katika mji huu ambavyo huvutia watalii kutoka pande mbalimbali za Dunia.Pia hali ya hewa ya mji wa Lushoto ni kivutio kizuri ambacho husababisha wageni wengi kuweka makazi ya kudumu katika mji huu.

KWA HABARI ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE>>>> 

Friday 11 December 2015

THE BAGAMOYO CHURCH FIRST CHURCH IN THE EAST COAST OF AFRICA BE THE MAIN TOURISM ATTRACTION IN BAGAMOYO



KWA HABARI ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE>>>>


The Bagamoyo Church was built in 1868 and considered to be the first church in the East Coast of Africa. A cemetery, where the early missionaries were buried and a small shrine which was built by freed slaves in 1876 are all seen. We are told that between 1934 and 1991, 35 Dutch priests worked here. The last of this long line of priests from the Netherlands was Father Frits Versteijnen who stayed in Bagamoyo for 30 years and started the first museum in the old Fathers’ House in March 1968.
The second Fathers’ House in Bagamoyo, constructed close to the Mother of all Churches in East Africa, has also fallen victim to the corrosive effects of the coast region’s relentlessly humid climate. Its ground floor was built in 1873, the first floor in 1877 and the second floor in 1903.
 









KWA HABARI ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE>>>>

Tuesday 8 December 2015

NILO NATURE RESERVE: CONSERVE UNIQUE ECOSYSTEM

Nilo Nature Reserve lies towards the more northerly end of the Arc, stretching over 62 km2 of the East Usambara Mountains . It was established in 2007 to conserve the area’s unique ecosystem and protect its exceptional biodiversity for future generations. The reserve is a haven for almost 800species of plants, including eight African violet species, and 100 species of birds, such as the rare Banded green sunbird and the Red-capped forest warbler. If you are particularly lucky, you might even spot an Angolan pied colobus, an Usambara three-horned chameleon, or a Zanj elephant shrew. Traditionally, the forests have been an important source of firewood and food for local people. The reserve continues to play a critical role in rain catchment and reducing the effects of climate change.
       Visitor attractions:
Lutindi trail: There is some excellent hiking in the reserve, including an 8 km trail which begins at the       
Denmark campsite and circles Lutindi peak, allowing you ample opportunity to spot beautiful African violets along the way.
Tuvui trail: A short 300 meter trail from the Denmark campsite will take you to the stunning Tuvui Falls.
Kwemakulo trail: Alternatively you can explore the slightly longer Kwemakulo trail (1.4 km) which winds up to Kwemakulo peak.
Kizerui – Kizara Drive: this drive takes visitors along a 9.5 km stretch of road through the Nature Reserve
Zumbe Kuu Falls: Visitors may also enjoy a trip to the Zumbe Kuu Falls, a 30 m waterfall, along the
Semdoe River.
The Holy Water Point:2 km from the  Denmark camp, is a site of local worship: legend has it that water first began to flow from the point after a thirsty Bishop blessed the area.
Kizara caves: close to Kizara Village there are caves and some excellent view of the forest.

Monday 30 November 2015

MICHORO YA KONDOA KIVUTIO MAARUFU MKOANI DODOMA


KWA HABARI >>>>ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE

Tuesday 24 November 2015

SAANANE ISLAND FIRST EVER NATIONAL PARK TO BE LOCATED WITHIN THE CITY


   Saanane Island is covering an area of 2.18 sq km comprises of three islets and aquatic environment.  The islets lie on the southern part of the main Island.

     The park made a record of being the first ever National Park to be located within the City and the smallest National Park in both Tanzania and East Africa. The Park is the home of mammals like Impala, Rock Hyrax, Velvet Monkeys and Wild Cats. The presence of “De-brazas Monkey” underscores its potential as the only Park in the country inhabiting the species.  Reptiles are also dominant; they include crocodiles, Monitor Lizards, Agama Lizards, Pancake and Leopard Tortoises, Snakes particularly Python. The aquatic part of the Park inhabits a variety of fisheries life, mainly Tilapia and Nile Perch
boat cruise

     Saanane Island is an ideal place for game viewing, bird watching, rock hiking, boat cruise, walking, picnics, bush lunch, photographing/filming, meditation and sport fishing

Sunday 22 November 2015

HIFADHI YA MKOMAZI NI KIVUTIO KIZURI NCHINI TANZANIA



Hifadhi ya Mkomazi ipo katika mikoa miwili ambayo ni Kilimanjaro na Tanga, ndani ya wilaya za Same na Lushoto nchini Tanzania. Hifadhi ya Mkomazi ilianzishwa mnamo mwaka 1951 kama Pori la Akiba lilitengwa kutoka katika Pori kubwa la Akiba la Ruvu.
 Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba .Pori hili lilipendekezwa kuwa hifadhi ya taifa kwa misingi ya kunusuru maeneo na rasilimali zilizomo kutokana na matumizi yasiyoendana na uhifadhi kwa ajili ya kizazi cha leo na kijacho.
Katika hifadhi hii kuna wanyama na ndege wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na mbwa pori na vifaru weusi walioingizwa kutoka kutoka nchi ya Afrika kusini