KWA HABARI ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA >>>>CLICK HERE>>>>

Kuna barabara ya lami kati ya Lushoto na Mombo
inapounganika na barabara kuu ya Arusha - Dar es Salaam.
Mazingira ya Lushotoyanafaa kwa kilimo,vile vile kuna vivutio vingi vya Utalii katika mji huu
ambavyo huvutia watalii kutoka pande mbalimbali za Dunia.Pia hali ya hewa ya
mji wa Lushoto ni kivutio kizuri ambacho husababisha wageni wengi kuweka makazi
ya kudumu katika mji huu.
No comments:
Post a Comment