Wednesday 23 December 2015

MAZINGIRA YA MJI WA LUSHOTO YANAWAVUTIA WATALII WENGI


KWA HABARI ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE>>>>

  Lushoto ni mji mdogo uliopo kwa kimo cha mita 1930 kwenye milima ya Usambara ni makao makuu ya wilaya ya Lushoto. Mji ulianzishwa kwa jina la Wilhelmstal na Wajerumani wakati wa koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Jina lilichaguliwa kwa heshima ya kaisari Wilhelm II aliyekuwa mtawala wa Ujerumani hadi 1918.
Kuna barabara ya lami kati ya Lushoto na Mombo inapounganika na barabara kuu ya Arusha - Dar es Salaam.
Mazingira ya Lushotoyanafaa kwa kilimo,vile vile  kuna vivutio vingi vya Utalii katika mji huu ambavyo huvutia watalii kutoka pande mbalimbali za Dunia.Pia hali ya hewa ya mji wa Lushoto ni kivutio kizuri ambacho husababisha wageni wengi kuweka makazi ya kudumu katika mji huu.

KWA HABARI ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE>>>> 

No comments: