Monday 19 October 2015

ZIWA NATRON LINA MAENEO YA KUSHANGAZA BARANI AFRIKA



Maeneo yanayozunguka Ziwa Natron yana baadhi ya mazingira ya kushangaza zaidi barani Afrika. Mazingira hayo ni pamaoja na mchanganyiko wa maeneo mpana ya wazi na tambarare, miinuko, Mlima mkubwa wa volkano pamoja na ziwa lenyewe lenye asili ya madini soda yenye rangi mbalimbali, ni dhahiri kwamba eneo hili ni la kuvutia na kupendeza.
Umuhimu wa ziwa hili katika ukanda wa Afrika Mashariki unatokana na ukweli kwamba ndio sehemu pekee katika ukanda huu ambapo panatoa fursa ya ndege aina ya flamingo kuzaliana kwa wingi.


Saturday 12 September 2015

MOUNT RUNGWE: THE ACTIVE VOLCANIC MOUNTAIN IN MBEYA REGION



   Mount Rungwe is a potentially active volcano in the Mbeya Region of the southern highlands of Tanzania. At an altitude of 2,960 metres, it is southern Tanzania's second highest peak. Rungwe stands at the junction of the eastern and western arms of the East African Rift. It dominates the mountainous country at the north-west end of the trough that contains Lake Nyasa. The southeastern slopes of these mountains receive up to 3 metres of rainfall a year, the highest rainfall in Tanzania. The slopes are covered with a belt of tropical montane forest
  Tourism activities
Tourists uses of the Mount to trekking and photography tourism are take place

Thursday 10 September 2015

MIKUMI HIFADHI MASHUHURI NCHINI TANZANIA



  Mikumi ni moja ya hifadhi mashuhuri na kubwa nchini Tanzania. Eneo kuu na muhimu katika hifadhi hii ni uwanda wa mafuriko pamoja na safu za milima ambazo zinapatikanandani ya hifadhi hii. Mbuga za wazi ndizo zinazoshamiri katika uwanda wa mafuriko na kuishia katika misitu ya miombo inayofunika mabonde yaliyo chini ya hifadhi.
   Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa 3230 na ipo umbali wa kilometa 283 magharibi mwa Dar ea Salaam. Aidha hifadhi hii iko kaskazini ya mbuga ya Selouse na iko njiani unapoelekea katika hifadhi ya Udzungwa, Selouse na Ruaha kwa barabara kutoka Dar ea Salaam na Inapatikana katika Mkoa wa Morogoro.
-Ndani ya hifadhi ya Mikumi kuna simba ambao huwa wanaonekana wakiwa katika himaya yao na mara nyingine wakiwa juu ya matawi ya miti ili kukwepa majimaji wakati mvua zinapototesha ardhi ambayo ina udongo wa mfinyanzi.
-Wanyama wengine wengi hukimbilia katika eneo la miombo nyakati za mvua ambako unaweza kuwaona katika safu za milima. Hapo makundi makubwa ya nyati katika ukanda wa miombo wanaweza kuonekana.
-Kwa upande wa ndege, wakati wa mvua huongezeka na kufikia zaidi ya aina 300. Hii ni kutokana na ukweli kwamba, nyakati hizi kunakuwepo na makundi ya ndege wahamiaji kutoka nchi za Ulaya na Asia ambayo, huungana na makundi ya ndege wakazi  kama vile chole.
-Makundi makubwa ya viboko, pundamilia na nyumbu huonekana katika eneo hili

Saturday 5 September 2015

OLDONYO LENGAI MLIMA WENYE VOLKANO HAI TANZANIA



   Oldoinyo Lengai ni Mlima pekee wenye volkano hai unaopatikana Tanzania wenye urefu wa Mita 2962 kutoka usawa wa bahari. Jina hili Oldonyo Lengai lina maana ya “Mlima wa Mungu” katika lugha ya Kimasai.. Kabila la Kimasai hutumia Mlima huu kwa kufanya  matambiko wakiupa sifa za Uungu kwa ajili ya kutatua matatizo mbalimbali ya kijamii yanayo wakumba kama ,njaa na magonjwa.
   Lakini pia mlima huu  hutumika kama kivutio cha Utalii, na utalii unaofanyika ni utalii wa kupanda milima. 


ADVERTISE HERE.

Tuesday 18 August 2015

Ziwa Eyasi ni kivutio kizuri cha Utalii nchini Tanzania


    Ziwa Eyasi ni ziwa lenye maji ya chumvi linalopatikana kati ya genge la bonde la ufa na na Milima ya Kidero. Maeneo yazungukayo ziwa Eyasi ni makazi ya kabila maarufu la Wahadzabe ambao ni moja ya makabila machae ya wawindaji yaliyobaki katika bara la Afrika. Wahadzabe wamekuwa wakiishi katika misitu ya acacia na vichaka vinavozunguka maeneo ya ziwa Eyasi kwa atakribani zaidi ya miaka 10,000 iliyopita.
Utalii unaofnyika katika eneo hili ni utalii wa kitamaduni.

Monday 17 August 2015

Maziwe Island the best diving destination along the Eastern African Coast



   Maziwe island is a very small unvegetated island surrounded by coral reefs located about 8 kilometres south east of the town of Pangani off the northern coast of Tanzania.
       Flora and Fauna
 There is a wide diversity of marine species found in and around the island reserves. This includes over 200 species of fish, 35 genera of corals, many types of birds and a number of different sea grasses, algae and sponges. The island used to be a nesting site for endangered green sea turtles.
    Tourism activities
 Maziwe remains an ideal place for swimming, snorkeling and diving as well as research expedition, sunbathing and watching dazzling tropical fish.
The area is ideal for underwater adventures and is among the best diving destination along the Eastern African Coast with a wide variety of underwater life.

Tuesday 11 August 2015

Mkwawa’s memorial museum building at Kalenga village - Iringa Town


Since the Germans had more sophisticated weapons that spears, bows and arrows the Hehe soldiers had, were no match for the guns the German troops had, they managed to attack the Hehe fortress at Kalenga in October 1894 and Chief Mkwawa successfully managed to escape and engaged in the German forces in guerrilla warfare for a number of years before he committed suicide. In 1898, after nine years of harassing the Germans in a series of guerrilla skirmishes, Mkwawa was cornered by the German troops, and on realizing that he was about to be arrested, he committed suicide rather than being caught red handed by the colonial German troops. As the German troops advanced, they found him dead and cut off his head which was sent to Germany, and repatriated back to the then Tanganyika territory in 1954 during British colonialism. Mkwawa’s skull now forms one of the main exhibits in the Mkwawa Memorial Museum at nearby Kalenga village.