Monday 14 April 2014

MCHANGO WA WANAFUNZI WA SHAHADA YA UTALII 2011-2013 (SUA) KATIKA KUKUZA UTALII WA NDANI.


        Leo kwenye makala yetu tunaangaza katika Utalii wa ndani. Jicho letu limeelekea mji kasoro bahari((Morogoro) katika Chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine
Sokoine University of Agriculture 





 
 Chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine ni chuo kinacho toa shahada za kilimo na nyinginezo lakini takribani miaka mitatu iliyo pita chuo hiki kilianzisha Shahada  ya Utalii.Ni kvipi basi shahada hii imesaidia kukuza utalii wa ndani?
     Wanafunzi wanaochukua Shahada ya Utalii wameonekana kuwa na muamko mkubwa wa kutembelea vivutio mbalimbali pamoja na Hifadhi za Taifa kama vile Mikumi, Kilimanjaro,Saadani, Lake Manyara na Mamlaka ya hifadhi za Ngorongoro,pia  wanafunzi hao wameweza kutembelea vivutio  vingine kama vile Kaole na Ngome Kongwe huko Bagamoyo,Mapango ya Amboni pamoja na Fukwe za Ushongo zilizopo Tanga.
  Hali kadhalika wanafunzi hao hawakukosa kuwa wazalendo pia wameweza kutembelea vivutio vilivyopo katika mji wa Morogoro zikiwemo Uluguru Nature Reserve na Udzugwa Nature Reserve.Hata hivvo basi wanafunzi wachache wa mwaka wa masomo 2010-2013 waliweza kuanzisha chombo kinachoandaa trip mbalimbali kilichojulikana kama Domestic Tourism Promoters (DOTOPs).


Kilimanjaro at Uhuru peak
 Lake Manyaral













Ngorongoro conservation area
Kaole

Picha ya pamoja kaole0








0
Uluguru nature conservation














   Hivyo basi Wanafunzi wa Shahada ya Utalii wamekuwa chachu katika kukuza utalii wa ndani  kwa wakuweza kuwashawi wanafunzi wa Shahada nyingine kama vile Shahada ya Elimu na Maendeleo ya Vijiji kuwa na hari  ya kutembelea vivutio vya Utalii

No comments: