Monday 30 November 2015

MICHORO YA KONDOA KIVUTIO MAARUFU MKOANI DODOMA


KWA HABARI >>>>ZAIDI KUHUSU UTALII NA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI TANZANIA BOFYA HAPA    >>>>CLICK HERE

Tuesday 24 November 2015

SAANANE ISLAND FIRST EVER NATIONAL PARK TO BE LOCATED WITHIN THE CITY


   Saanane Island is covering an area of 2.18 sq km comprises of three islets and aquatic environment.  The islets lie on the southern part of the main Island.

     The park made a record of being the first ever National Park to be located within the City and the smallest National Park in both Tanzania and East Africa. The Park is the home of mammals like Impala, Rock Hyrax, Velvet Monkeys and Wild Cats. The presence of “De-brazas Monkey” underscores its potential as the only Park in the country inhabiting the species.  Reptiles are also dominant; they include crocodiles, Monitor Lizards, Agama Lizards, Pancake and Leopard Tortoises, Snakes particularly Python. The aquatic part of the Park inhabits a variety of fisheries life, mainly Tilapia and Nile Perch
boat cruise

     Saanane Island is an ideal place for game viewing, bird watching, rock hiking, boat cruise, walking, picnics, bush lunch, photographing/filming, meditation and sport fishing

Sunday 22 November 2015

HIFADHI YA MKOMAZI NI KIVUTIO KIZURI NCHINI TANZANIA



Hifadhi ya Mkomazi ipo katika mikoa miwili ambayo ni Kilimanjaro na Tanga, ndani ya wilaya za Same na Lushoto nchini Tanzania. Hifadhi ya Mkomazi ilianzishwa mnamo mwaka 1951 kama Pori la Akiba lilitengwa kutoka katika Pori kubwa la Akiba la Ruvu.
 Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba .Pori hili lilipendekezwa kuwa hifadhi ya taifa kwa misingi ya kunusuru maeneo na rasilimali zilizomo kutokana na matumizi yasiyoendana na uhifadhi kwa ajili ya kizazi cha leo na kijacho.
Katika hifadhi hii kuna wanyama na ndege wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na mbwa pori na vifaru weusi walioingizwa kutoka kutoka nchi ya Afrika kusini

Saturday 21 November 2015

THE TRUE HISTORY OF OLDER BAOBAO TREE AT BAGAMOYO CATHOLIC MISSION


   This tree is as mission itself, the tree planted in 1868 by Fr Antony Horner ‘(CssP) to mark the official opening date of Bagamoyo Catholic Mission has therefore a remarkable history
Many stories are told about tree but many more about chain which can you see near the root,
  The only true story is                     
Very soon as the Missionary sisters had started to take of the care sick, a hospital was built just behind the tree, The French nurse madame de Chavalier who was running the dispensary  in Zanzibar from 1884-1895 in came Bagamoyo to help the sisters
She used to come to work to riding a donkey, she fixed the chain to the tree to tie her donkey with it. When the tree grew thicker and thicker it swallowed more and more the chain

Wednesday 18 November 2015

Bagamoyo Museum displays Bagamoyo's history in relation to its contact with foreigners


This is a small museum, which displays Bagamoyo history in relation to its contact with foreigners.
 It has old photographs, documents and relics from slave trade. On the same compound, there is a small chapel known as Anglican church of Holly Cross. The church is famous for being a place where the remains of David Livingstone were laid before taken to Zanzibar en route to Westminster abbey for burial.



Domestics tourists at Bagamoyo museum.

Sunday 15 November 2015

KAOLE RUINS THE MAJOR ATTRACTION THAT BAGAMOYO TOWN HAS TO OFFER.

Kaole ruins are believed to be established around 13th century, indicating early contact that Bagamoyo had with Islamic world. 
The tombs were built from coral stones. This is the major attraction that Bagamoyo town has to offer. The ruins are located about 5km from the center, ruins have two mosques and several tombs, one mosque is the remnant of the oldest mosque in East Africa, dating between third and fourth centuries
   
                                                     TOURISM IN TANZANIA.

Tuesday 10 November 2015

ULUGURU NATURE FOREST RESERVE INHABITED WITH ENDEMIC SPECIES IN TANZANIA

Uluguru Mountains range with nature forest reserve conserve some of oldest forest in Africa with endemic species of flora and fauna as its ecosystem remained undisturbed by geographical and climatic changes for more than 25 million of years 
 Rising over 2,630m at the highest peak and just 200 km from Dar es Salaam city along the Indian Ocean rewards special trekking and hiking experience with attractive endemic flora and fauna with unique scenery consisting forest, waterfalls, streams, grasslands, coastal vegetation composing an incredible diverse and spectacular environment to explore in Morogoro Tanzania.
The Uluguru trekking and hiking safaris ranging from day tour hiking excursion, two days trekking, three days climbing up to four days. Hikers can walk for few hours to reach morning side for unbeatable spectacular views of Morogoro Town or climb to Madola which reveals forest, orchards and waterfalls along the way and ends in a traditional village of Waluguru ethnic to experience their culture and tradition. Hiking for 6 hours to reach Lupanga Peak or taking four days trekking to reach Kimhandu Peak. Nature walking to explore some of endemic flora and fauna species of Uluguru forest reserve.
 






Saturday 7 November 2015

PORI LA AKIBA LA LIPARAMBA KIVUTIO MAARUFU KUSINI MWA TANZANIA



  Pori la akiba la Liparamba lipo wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma.Pori hilo lililopo mpakani mwa nchi za Tanzania na Msumbiji,Lina ukubwa wa kilometa za mraba 570. Hii ni asilimia 6.4 ya eneo la wilaya ya Mbinga ambayo ina jumla ya kilometa za mraba 11,396. kiwango cha juu cha uoto wa asili wa misitu minene ya miombo, yenye rangi ya kijani mwaka mzima.
     Hifadhi hiyo inapakana na Msumbiji kwa upande wa kusini, mto Ruvuma kwa upande wa mashariki, mito Lumeme na Lunyele inapita ndani ya hifadhi hiyo na Kaskazini inapakana na milima ya Goma la Mpepo ambayo ni miongoni mwa milima mirefu wilayani Mbinga.
   Ndani ya hifadhi ya Liparamba kuna aina mbalimbali za wanyama. Kuna palahala, swala mkubwa(tandala) , boko, pofu, mbawala, mbuzi mawe, ngolombwe mnyama ambaye anafanana na swala, chui, simba na fisimaji.Wanyama wengine ni  nyani-manjano, tumbili, nguruwe na ngiri. Vilevile kuna ndege wa aina mbalimbali wakiwemo njiwapori,kanga na kware
  Siku za hivi karibuni wanyama kama tembo, pundamilia, nyati, nyumbu na mbwamwitu, wameonekana katika pori hilo. Kuna baadhi ya wanyama wanahama kutoka Msumbiji na kuingia Tanzania kwa kuzingatia hifadhi hiyo iko mpakani mwa nchi hizi mbili. Tanzania inalenga kuboresha utalii kusini  na kwamba hivi sasa  watalii wanachokifuata kaskazini pia wanaweza kukipata kusini kwa kuwa kuna utalii wa aina mbalimbali.

Tuesday 3 November 2015

MAAJABU YA SIMBA WEUPE WA PORI LA LIPARAMBA NCHINI TANZANIA

   Katika  habari za wanyama pori inajulikana kwamba  simba weupe wanapatkana zaidi  Afrika ya kusini,Lakin pia Simba weupe wanapatikana katika nchi ya Tanzania katika pori la wanyama la Liparamba wilayani Mbinga mkoani Ruvuma. Pia katika pori kuna baadhi ya wanyama wanahama kutoka Msumbiji na kuingia Tanzania kwa kuzingatia hifadhi hiyo iko mpakani mwa nchi hizi mbili.

MAKUMBUSHO YA TAIFA YA VIUMBE HAI YA ARUSHA


ADVERTISE WITH US CALL..0653683428